24.2 C
Dar es Salaam
Thursday, April 25, 2024

Contact us: [email protected]

Barca kubeba wawili Chelsea

CATALUNYA, Hispania

UKIACHA Hakim Ziyech, pia Barcelona wamepanga kuibomoa Chelsea kwa kumchukua staa mwingine wa timu hiyo ifikapo Januari, mwakani.

Kwa mujibu wa taarifa, nyota aliyeingia kwenye rada za vigogo hao wa La Liga ni straika wa Kijerumani, Timo Werner.

Barca wamewageukia wawili hao baada ya kuona haitakuwa rahisi kwa Manchester City kumwachia mshambuliaji raia wa England, Raheem Sterling.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles