28.2 C
Dar es Salaam
Saturday, April 20, 2024

Contact us: [email protected]

Ali Kiba kutoka upya na Lupela

Alikiba_(Tz)NA HERIETH FAUSTINE

MSANII wa Bongo Fleva nchini, Ally Kiba, amesema wimbo wake mpya wa ‘Lupela’ atauachia mwishoni mwa mwezi wa nne.

Wimbo huo ambao video yake imefanyika nchini Marekani, utaachiwa rasmi mwezi wa nne, ukiwa ni sehemu ya mradi wa Wild Aid ambao msanii huyo ni balozi wake.

Haijajulikana kama wimbo huo ni sehemu ya kampeni hiyo, lakini vipande vya wimbo huo vilivyowekwa katika mitandao ya kijamii vinasikika na kuonyesha kuwa video ya kawaida na si kampeni.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles