24.2 C
Dar es Salaam
Thursday, April 25, 2024

Contact us: [email protected]

Verse 2 kuachia ‘Sambusa’

CHRISTOPHER MSEKENA

SIKU chache baada ya kuachia video ya Pepea, msanii wa kizazi kipya mwenye asili ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo anayeishi Australia, Verse Due a.k.a Verse 2 amesema muda wowote kutoka sasa ataachia wimbo mwingine, Sambusa.

Akizungumza na Papaso la Burudani, Verse alisema huo ni mwendelezo wa kuachia nyimbo mfululizo kutoka kwenye albamu yake ya Unexpected Arrival yenye jumla ya ngoma 19.

“Nashukuru Pepea inafanya vizuri lakini tumeingia mwezi mpya kwahiyo muda wowote nitaachia, Sambusa na kama kawaida yangu nitatoka $100 kama zawadi kwa mashabiki watakaoweza kushirikisha shindano langu la kucheza,” alisema Verse.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles