28.2 C
Dar es Salaam
Saturday, April 20, 2024

Contact us: [email protected]

Suge Knight akimbizwa hospitali

Suge KnightLOS ANGELES, MAREKANI
KIONGOZI wa kundi la Death Row Records, Marion Hugh ‘Suge Knight’, amekimbizwa hospitali mara baada ya kuzidiwa na tumbo akiwa jela.
Msanii huyo kwa sasa anatumikia kifungo kwa kumgonga mtu na gari na kusababisha kifo chake.
Mara kwa mara msanii huyo amekuwa akipata ugonjwa anapofikishwa tu mahakamani ama siku za karibu za kwenda mahakamani zinapokaribia.
Mtandao wa TMZ umeeleza kwamba msanii huyo amekuwa akipata matatizo ya afya kwa kuogopa miaka ya kifungo chake, hadi sasa hajui kifungo chake kitakwisha lini, hivyo anapata presha siku anapofikishwa mahakamani.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles