24.8 C
Dar es Salaam
Friday, April 26, 2024

Contact us: [email protected]

Shilole azimia baada ya kuvalishwa pete

Na Brighiter Masaki, Dar es Salaam

Msanii wa Bongo Fleva nchini, Zuweza Mohammed, ‘Shilole’ usiku wa kuamkia leo Desemba 21, amevalishwa Pete na Mchumba wake ambaye pia ni mpiga picha wake maarufu Rommy 3D nakujikuta akizimia.

Tukio hilo limejiri usiku wa kuamkia leo Jumatatu, Desemba 21, 2020, wakati Shilole alipokuwa akifanya sherehe ya kumbukumbu ya siku yake ya kuzaliwa.

Ikumbukwe kuwa, Shilole amevalishwa pete baada ya kuachana na aliyekuwa mume wake Uchebe na sasa amepata mchumba mpya.

Shilole ametumia hafla hiyo kuonyesha gari yake mpya aliyonunua huku akidai kuwa gari hilo amenunua kwa pesa yake na hajahongwa.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles