24.2 C
Dar es Salaam
Wednesday, April 17, 2024

Contact us: [email protected]

Serikali inatengeneza mazingira mazuri kwa wawekezaji

Na Mwandishi Wetu, Mwanza

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mwita Waitara amesema Serikali inatengeneza mazingira mazuri kwa wawekezaji wanaofuata sheria.

Waitara ametoa kauli hiyo leo Desemba 23, 2020 alipotembelea kiwanda cha Saji Packaging kinachojihusisha na uzalishaji wa vifungashio vya plastiki na kurejeleza taka za plastiki kilichopo Iliemela jijini Mwanza.

Akionesha kuridhishwa na shughuli za kiwanda hicho alisema ni rafiki kwa mazingira kutokana na kukusanya taka za plastiki ambazo zingezagaa ovyo na kuzitumia kama malighafi.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles