28.6 C
Dar es Salaam
Tuesday, March 19, 2024

Contact us: [email protected]

Sanches ajipeleka Arsenal

LILLE, Ufaransa

WASHIKA Bunduki wa London washindwe wenyewe! Ni baada ya kiungo wa Lille, Renato Sanches, kusema yuko tayari kujiunga nao endapo taratibu zote zitafuatwa.

Sanches, raia wa Ureno mwenye umri wa miaka 24, amekuwa akifukuziwa na klabu kadhaa za Ulaya baada ya kiwango kizuri alichokionesha katika fainali za Euro 2020.

Lakini sasa, licha ya kuonesha kuutamani ‘uzi’ wa Arseanl, changamoto kubwa kwa klabu hiyo ni ushindani kutoka kwa AC Milan inayomtolea macho mchezaji huyo.

Katika hatua nyingine, ipo stori inayodai kuwa winga wa Arsenal raia wa Ivory Coast, Nicolas Pepe, anajiandaa kuondoka Emirates ifikapo Januari, mwaka huu.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
584,000SubscribersSubscribe

Latest Articles