30.2 C
Dar es Salaam
Saturday, April 20, 2024

Contact us: [email protected]

Joao afungua mlango Atletico

MADRID, Hispania

MSHAMBULIAJI wa Atletico Madrid, Joao Felix, atafungasha kila kilicho chake na kutimka klabuni hapo mara tu usajili wa Januari, mwaka huu.

Kwa mujibu wa taarifa, Mreno huyo mwenye umri wa miaka 22 ameshamwambia wakala wake amtafutie klabu ya kwenda.

Ni katika hatua hiyo, ikaibuka kuwa Barcelona wanamtazama kwa jicho la karibu mchezaji huyo wa zamani wa Benfica.

Katika nyakati tofauti, jina la Joao limewahi kuhusishwa na klabu mbalimbali, ikiwamo Liverpool.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles