Mwandishi wa Habari wa Azam TV mkoani Mtwara, John Kasemba, (wa kwanza kulia),akiwa na Afisa Mkuu wa Fedha wa benki ya NMB, Juma Kimori (Katikati), na Janeth Shango, Meneja wa NMB Kanda ya Kusini,wakishiriki mazoezi ya viungo yaliyofanyika katika uwanja wa Nangwanda Sijaona mkoani Mtwara ikiwa ni maalum kwa ajili ya kuimarisha afya kwa wateja na wafanyakazi wa benki hiyo Kanda ya Kusini
MKUU wa Wilaya ya Mtwara Dustan Kyobya (Katikati), Afisa Mkuu wa fedha wa benki ya NMB,Juma Kimori(Kulia) na Meneja wa benki hiyo Kanda ya Kusini Janeth Shango,wakiwaongoza wafanyakazi na wateja wa NMB kanda ya kusini kufanya mazoezi katika uwanja wa Nangwanda mkoani Mtwara,wikendi hii.Kutoka Kulia Mkuu wa wilaya ya Mtwara Dustan Kyobya, Meneja wa NMB Kanda ya Kusini Janeth Shango, Katibu tawala wa wilaya ya Mtwara,Thomas Salala na mmoja wa wateja wa Benki ya NMB wakifanya mazoezi ya mwili yaliyoandaaliwa na benki hiyo mkoani Mtwara.Afisa Mkuu wa fedha wa NMB, Juma Kimori, kulia,akiwa na Mkuu wa wilaya ya Mtwara, Dustan Kyobya mwenye Kofia pamoja na Meneja wa NMB Kanda ya kusini Janeth Shango mwenye kitambaa kichwani wakiwaongoza wateja wa benki hiyo kufanya mazoezi ya mwili katika uwanja wa Nangwanda Sijaona Mkoani Mtwara Mazoezi yaliyofanyika mwishoni mwa wikiÂ