24.4 C
Dar es Salaam
Friday, April 19, 2024

Contact us: [email protected]

Jay Dee aweka wazi maana ya ‘Ndi ndi ndi’

LADY JAY DEENA BEATRICE KAIZA

MKONGWE wa muziki wa Bongo Fleva nchini, Judithi Wambura ‘Lady Jay Dee’, amesema maana halisi ya wimbo wake wa ‘Ndi ndi ndi’ ni kwamba ‘mimi ni kitu na wewe si chochote’.

Wimbo huo mpya umewapa wakati mgumu mashabiki wake, hivyo ameona ni bora aweke wazi maana halisi ya wimbo huo.

“Wimbo umekuwa ukiwapa wakati mgumu mashabiki wangu, lakini nimeona bora nifumbue fumbo hili, Ndi ndi ndi maana yake ni mimi ni kitu na wewe si chochote,” alisema Jay Dee.

Wimbo huo kwa sasa unafanya vizuri tangu alipouachia hivi karibuni baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu. Msanii huyo amewashukuru mashabiki wake kwa mapokezi ya wimbo huo.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles