24.2 C
Dar es Salaam
Friday, April 26, 2024

Contact us: [email protected]

Jack Mganza mbioni kuachia mpya

MWIMBAJI wa  Gospo nchini, Jack Mganza ambaye anaishi Afrika Kusini, ameweka wazi kuwa baada ya kimya cha muda mrefu yupo tayari kuachia kazi mpya zitakazopatikana katika mitandao mbalimbali ya kijamii.

Akizungumza na Swaggaz jana, Mganza alisema :“Wapendwa wamekuwa na kiu ya kunisikiliza maana toka nilipotoa wimbo wangu Bomoa Bomoa na Mungu ni wa Rehema, nikakaa kimya, naamini watabarikiwa.”

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles