24.2 C
Dar es Salaam
Friday, April 26, 2024

Contact us: [email protected]

Huyu ndiye kocha mpya Man City

AMSTERDAM, Uholanzi

MABOSI wa Manchester City wanataka kocha wa Ajax, Erik ten Hag, atue kwao endapo Pep Guardiola ataondoka hapo baadaye.

Guardiola, ambaye amekuwa akiinoa Man City tangu mwaka 2016, inasemekana anataka kutimka atakapomaliza mkataba wake Juni, 2023.

Hayo ya Man City yanakuja huku ikifahamika kuwa Ten Hag anahusishwa pia na Manchester United wanaotaka akali kiti cha kocha wa muda, Ralf Rangnick.

Aidha, zipo taarifa zinazodai kuwa Mholanzi mwenye umri wa miaka 51 anavutiwa zaidi na ofa ya kwenda Old Trafford na si Etihad.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles