33.2 C
Dar es Salaam
Friday, March 29, 2024

Contact us: [email protected]

Giggs kupewa timu ya vijana

Ryan GiggsMANCHESTER, ENGLAND

KOCHA msaidizi wa klabu ya Man United, Ryan Giggs, inadaiwa anaweza kupewa timu ya vijana chini ya umri wa miaka 21 baada ya Jose Mourinho kusaini mkataba na klabu hiyo, awali Giggs alikuwa msaidizi wa Van Gaal ambaye amefukuzwa kazi hivyo Mourinho atatafuta msaidizi wake.

- Advertisement -
Previous article
Next article

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
585,000SubscribersSubscribe

Latest Articles