24.2 C
Dar es Salaam
Thursday, April 25, 2024

Contact us: [email protected]

GGML wang’ara maonesho sabasaba, waibuka muajiri bora

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital

KAMPUNI ya Geita Gold Mine Limited (GGML), imeendelea kung’ara baada ya kuibuka mshindi katika Maonyesho ya 46 ya Kimataifa ya Biashara – Dar es Salaam maarufu kama sabasaba kwa kunyakua tuzo ya muajiri bora na msafirishaji bora wa madini nje ya nchi. 

Tuzo zote zimetolewa Julai 13, 2022 na Makamu wa Rais, Dk. Philip Mpango (wa pili kulia) na kupokewa na Mwanasheria Mwandamizi wa GGML, David Nzaligo (wa pili kushoto waliosimama nyuma) kwa niaba ya uongozi wa kampuni,
Wa pili kushoto ni Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk. Ashatu Kijaji.

Pia GGML imepata tuzo ya mlipa kodi bora wa pili na muajiri bora anayezingatia taratibu za Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF).

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles