24.7 C
Dar es Salaam
Tuesday, March 19, 2024

Contact us: [email protected]

Barca wamvutia kasi Ziyech

CATALUNYA, Hispania

BARCELONA wamewasiliana na mabosi wa Chelsea wakiulizia saini ya kiungo wa kimataifa wa Morocco, Hakim Ziyech.

Pia, inasemekana Barca wamezungumza na Chelsea juu ya kuipata saini ya mshambuliaji wa Kijerumani, Timo Werner.

Kwa upande wake, kocha wa Chelsea, Thomas Tuchel, anaonekana kuwa tayari kuwaachia wachezaji hao waende Ligi Kuu ya Hispania (La Liga).

Vilevile, Barca wanaamini wanaweza kuishawishi Manchester City ikubali kuwauzia mshambuliaji wao, Ferran Torres, kwa Pauni milioni 38.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
584,000SubscribersSubscribe

Latest Articles