HomeBiashara na Uchumi Biashara na Uchumi Picha| Mameya Dar wafanya ziara Makao Makuu ya NMB By Mtanzania Digital March 13, 2022 0 1613 FacebookTwitterPinterestWhatsApp Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Ruth Zaipuna, akimkabidhi zawadi Meya wa Kinondoni, Songoro Mnyonge alipotembelea makao makuu ya benki NMB jijini Dar es Salaam. Mameya wa Mkoa wa Dar es Salaam walifanya ziara katika ofisi za benki ya NMB kujionea utendaji kazi na jinsi benki inavyotoa huduma kwa wananchi wa Dar es Salaam. Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Ruth Zaipuna, akimkabidhi zawadi Meya wa Kigamboni, Ernest Mafimbo, alipotembelea makao makuu ya benki NMB jijini Dar es Salaam. Mameya wa Mkoa wa Dar es Salaam walifanya ziara katika ofisi za benki ya NMB kujionea utendaji kazi na jinsi benki inavyotoa huduma kwa wananchi wa Dar es Salaam. Katikati ni Afisa Mkuu wa wateja Wakubwa na Serikali wa NMB, Alfred Shao. Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Ruth Zaipuna, akimkabidhi zawadi Meya wa Kinondoni, Songoro Mnyonge alipotembelea makao makuu ya benki NMB jijini Dar es Salaam. Mameya wa Mkoa wa Dar es Salaam walifanya ziara katika ofisi za benki ya NMB kujionea utendaji kazi na jinsi benki inavyotoa huduma kwa wananchi wa Dar es Salaam. - Advertisement - Share FacebookTwitterPinterestWhatsApp Previous articleSerikali kuimarisha mikakati ya kukabiliana na maafaNext articleDawasa wapewa siku 14 kupitia mifumo majitaka Buguruni Mtanzania Digitalhttp://mtanzania.co.tz Related Articles Afya na Jamii Majaliwa ashiriki kampeni ya Wizara ya Afya ya mazoezi Uncategorized Wenyeviti wa Vitongoji Mugumu waandamana wakidai posho zao milioni 30 Kilimo Wataalamu 52 kutoka Taasisi za Fedha wapigwa msasa namna bora ya kutoa mikopo ya Kilimo LEAVE A REPLY Cancel reply Comment: Please enter your comment! Name:* Please enter your name here Email:* You have entered an incorrect email address! Please enter your email address here Website: Save my name, email, and website in this browser for the next time I comment. Δ Stay Connected90,904FansLike214,997FollowersFollow586,000SubscribersSubscribe Latest Articles Afya na Jamii Majaliwa ashiriki kampeni ya Wizara ya Afya ya mazoezi Uncategorized Wenyeviti wa Vitongoji Mugumu waandamana wakidai posho zao milioni 30 Kilimo Wataalamu 52 kutoka Taasisi za Fedha wapigwa msasa namna bora ya kutoa mikopo ya Kilimo Biashara na Uchumi Benki ya NBC Yazindua Huduma Maalum Kuwashika mkono Wastaafu Afya na Jamii 200 wapimwa afya na GGML katika maonesho ya OSHA Load more