HomeBiashara na Uchumi Biashara na Uchumi Picha| Mameya Dar wafanya ziara Makao Makuu ya NMB By Mtanzania Digital March 13, 2022 0 1609 FacebookTwitterPinterestWhatsApp Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Ruth Zaipuna, akimkabidhi zawadi Meya wa Kinondoni, Songoro Mnyonge alipotembelea makao makuu ya benki NMB jijini Dar es Salaam. Mameya wa Mkoa wa Dar es Salaam walifanya ziara katika ofisi za benki ya NMB kujionea utendaji kazi na jinsi benki inavyotoa huduma kwa wananchi wa Dar es Salaam. Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Ruth Zaipuna, akimkabidhi zawadi Meya wa Kigamboni, Ernest Mafimbo, alipotembelea makao makuu ya benki NMB jijini Dar es Salaam. Mameya wa Mkoa wa Dar es Salaam walifanya ziara katika ofisi za benki ya NMB kujionea utendaji kazi na jinsi benki inavyotoa huduma kwa wananchi wa Dar es Salaam. Katikati ni Afisa Mkuu wa wateja Wakubwa na Serikali wa NMB, Alfred Shao. Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Ruth Zaipuna, akimkabidhi zawadi Meya wa Kinondoni, Songoro Mnyonge alipotembelea makao makuu ya benki NMB jijini Dar es Salaam. Mameya wa Mkoa wa Dar es Salaam walifanya ziara katika ofisi za benki ya NMB kujionea utendaji kazi na jinsi benki inavyotoa huduma kwa wananchi wa Dar es Salaam. - Advertisement - Share FacebookTwitterPinterestWhatsApp Previous articleSerikali kuimarisha mikakati ya kukabiliana na maafaNext articleDawasa wapewa siku 14 kupitia mifumo majitaka Buguruni Mtanzania Digitalhttp://mtanzania.co.tz Related Articles Elimu na Teknolojia Benjamin Mkapa yadhamiria kufuta sifuri matokeo kidato cha nne, sita Biashara na Uchumi Mifumo ya kidijitali Brela yachochea maendeleo ya viwanda, biashara Habari Kuu Mchengerwa aagiza kukomeshwa migogoro ya Wenyeviti wa Halmashauri na Wakurugenzi LEAVE A REPLY Cancel reply Comment: Please enter your comment! Name:* Please enter your name here Email:* You have entered an incorrect email address! Please enter your email address here Website: Save my name, email, and website in this browser for the next time I comment. Δ Stay Connected90,904FansLike214,997FollowersFollow586,000SubscribersSubscribe Latest Articles Elimu na Teknolojia Benjamin Mkapa yadhamiria kufuta sifuri matokeo kidato cha nne, sita Biashara na Uchumi Mifumo ya kidijitali Brela yachochea maendeleo ya viwanda, biashara Habari Kuu Mchengerwa aagiza kukomeshwa migogoro ya Wenyeviti wa Halmashauri na Wakurugenzi Afya na Jamii Serikali kuimarisha matumizi ya nishati safi ya kupikia Biashara na Uchumi Dk. Biteko: Asilimia 96.37 ya vijiji nchini vimeunganishwa na umeme Load more