21.5 C
Dar es Salaam
Saturday, July 27, 2024

Contact us: [email protected]

Wataalamu JKCI waongezewa ujuzi jinsi ya kutumia mashine ya kuusaidia moyo kufanya kazi

Mkufunzi wa kutumia mashine ya kuusaidia moyo kufanya kazi kwa kiwango cha juu (Intra-aortic balloon pump) kutoka nchini Afrika Kusini Linda Veale akiwafundisha wataalam wa afya wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) (hawapo pichani) namna ambavyo mashine hiyo inavyoweza kufanya uchunguzi na vipimo mbalimbali wakati wa mafunzo hayo yaliyofanyika leo katika ukumbi wa Taasisi hiyo Jijini Dar es Salaam.

Baadhi ya wataalam wa afya kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakifuatilia mafunzo ya namna ya kutumia mashine ya kuusaidia moyo kufanya kazi kwa kiwango cha juu (Intra-aortic balloon pump) wakati wa mafunzo hayo ya siku moja yaliyofanyika leo katika ukumbi wa Taasisi hiyo iliyopo Jijini Dar es Salaam.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
589,000SubscribersSubscribe

Latest Articles