24.3 C
Dar es Salaam
Sunday, April 28, 2024

Contact us: [email protected]

Wabunifu, wanamitindo chipukizi kuchuana jukwaa moja

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital

MAONYESHO ya mavazi kwa wabunifu na wanamitindo wachanga yanayojulikana kama Start Tailoring Business (STB) yanatarajia kufanyika Novemba 27,2021 katika  Makumbusho ya Taifa, Dar es Salaam.

Akizungumza na Mtanzania Digital jijini Dar es Salaam,  Mratibu wa maonyesho hayo, Augustar Masaki, amesema jumla ya wanamitindo 30 na wabunifu 15 watashiriki.

“Nimekuwa na darasa kwa vijana wanaopenda kuwa wabunifu. Mwaka huu tumepata wenye ulemavu ambao tutashiriki nao katika jukwaa hilo la mavazi,” amesema Masaki.

Amesema mavazi yatakayoonyeshwa yametengenezwa na wahitimu ambao pia watatunukiwa vyeti na zawadi kwa watakaofanya vizuri zaidi.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles