23.1 C
Dar es Salaam
Wednesday, May 8, 2024

Contact us: [email protected]

Teyana Taylor avishwa pete ya uchumba

Teyana-Taylor-Iman-Shumpert-bet-awards-2015-billboard-650LAS ANGELES, MAREKANI

MSANII wa muziki na filamu nchini Marekani, Teyana Taylor, amevishwa pete ya uchumba na mpenzi wake, Iman Shumpert, ambaye ni mchezaji wa mpira wa kikapu wa timu ya Cleveland Cavaliers.

Msanii huyo mwenye umri wa miaka 25, amesema umri wake umefikia hatua ya kuolewa na tayari amempata mwanamume sahihi katika maisha yake.

“Nilikuwa nikisubiri muda kufanya maamuzi haya, nadhani huu ni umri wangu sahihi wa kuolewa, nashukuru nimempata mwanamume sahihi, tumekubaliana kuoana.

“Nimemchunguza na yeye amefanya hivyo na ndiyo maana tumefikia hatua hii, suala la ndoa likiwa tayari tutaliweka hadharani kama ilivyo kwenye jambo hili la kuvishwa pete.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
587,000SubscribersSubscribe

Latest Articles