23.4 C
Dar es Salaam
Saturday, April 27, 2024

Contact us: [email protected]

TANESCO KUREJESHA UMEME MIKOA ILIYOUNGANISHWA GRIDI YA TAIFA

Na Mwandishi wetu


Hitilafu ya umeme iliyotokea katika gridi ya taifa imesababisha kukatika kwa umeme katika mikoa yote inayaounganishwa na gridi hiyo kukosa umeme.

Kwa mujibu wa taarifa ya Ofisi ya Uhusiano ya Shirika la Umeme nchini (Tanesco), jitihada za kurejesha umeme huo kwa haraka zinaendelea.

“Shirika linaomba radhi kwa usumbufu lakini jitihada za kurejesha umeme huo uliokatika saa moja asubuhi you katika mikoa iliyoathirika zinafanyika,” imesema taarifa hiyo.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles