25.2 C
Dar es Salaam
Tuesday, April 23, 2024

Contact us: [email protected]

SONAM KAPOOR, AHUJA KUFUNGA NDOA

CHEMBUR, INDIA


STAA wa filamu za Bollywood, Sonam Kapoor, ametumia kurasa zake za mitandao ya kijamii  kutangaza kuwa anatarajia kufunga ndoa mwaka huu.

Mrembo huyo mwenye umri wa miaka 32, ametajwa kuwa ni mmoja kati ya wasanii wa filamu ambao wanalipwa fedha nyingi kuliko msanii yeyote wa kike nchini humo.

Sonam aliweka wazi uhusiano wake na Anand Ahuja na sasa amedai jambo hilo la ndoa lipo kwenye mikakati ya kukamilika mapema iwezekanavyo.

Inasemekana kwamba wawili hao wanaweza kufunga ndoa wiki ya pili ya Mei mwaka huu, endapo kila kitu kitakuwa sawa kama walivyopanga.

 

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles