25.2 C
Dar es Salaam
Wednesday, April 24, 2024

Contact us: [email protected]

Snura kuwapoza wenye migogoro ya ndoa

snura.jjpgNA THERESIA GASPER
MKALI wa wimbo wa ‘Majanga’, Snura Mushi, amesema kwa sasa ameelekeza kuwapa faraja wanawake wanaokumbwa na matatizo katika ndoa zao.
Snura aliyezindua wimbo wake mpya wa ‘Hawashi’ hivi karibuni mjini Songea, alisema wimbo huo umelenga kuwafuta machozi wanawake hao.
“Hawashi imeelezea matatizo wanayokutana nayo wanawake wenzangu katika maisha ya kila siku hasa pale wanapokuwa wameolewa, kama unavyojua visa vya wanaume lakini mbaya anaonekana mwanamke,” alisema Snura.
Wimbo huo umetayarishwa chini ya mtayarishaji, Mesen Selekta, huku akiwa ameshirikiana na msanii wa Bongo Fleva, Emmanuel Eribariki ‘Ney wa Mitego’.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles