27.1 C
Dar es Salaam
Friday, March 29, 2024

Contact us: [email protected]

SHILOLE: WATOTO WANGU HAWANA MPANGO NA UIMBAJI

Na JESSCA NANGAWE-DAR ES SALAAM

MSANII wa muziki wa Bongo Fleva, Zuwena Mohammed ‘Shilole’, amesema watoto wake hawana mpango wa kurithi kipaji chake cha uimbaji.

Akizungumza na MTANZANIA, Shilole alisema amekuwa akiwalea watoto wake katika maadili mazuri na kuhakikisha wanapata elimu ambayo itawasaidia baadaye.

“Hakuna mtoto ambaye ameonyesha mwelekeo wa kurithi kipaji changu, wote kila mmoja amejiwekea malengo yake, yupo anayetaka kuja kuwa dokta.

“Nafarijika kwa kuwa watoto wangu wamekuwa na bidii sana kwenye masomo yao, hilo ni jambo la kumshukuru Mungu,” alisema Shilole.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
585,000SubscribersSubscribe

Latest Articles