HomeAfya na Jamii Afya na JamiiKitaifa Picha| Wajumbe wa Kamati ya Ukaguzi ya TACAIDS wajengewa uwezo By Mtanzania Digital August 19, 2022 0 1087 FacebookTwitterPinterestWhatsApp Mwenyekiti wa Kamati ya Ukaguzi ya Kamisheni ya TACAIDS, Peter Maduki akifafanua lengo la Mafunzo ya kuwajengea uwezo Wajumbe wa Kamati ya Ukaguzi ya TACAIDS. Mkurugenzi Mtendaji wa TACAIDS, Dk. Leonard Maboko akifafanua majukumu ya TACAIDS kwa Mwajumbe wa Kamati ya Kamisheni ya Ukaguzi na utekelezaji wake. CPA Janjason Kibona akifundisha Wajumbe wa kamati ya Kamisheni ya Ukaguzi ya TACAIDS taratibu na miongozo ya Ukaguzi kwa mujibu wa taratibu na sheria za Serikali. Wajumbe wa Kamati ya Ukaguzi ya Kamisheni wa TACAIDS walioshiriki mafunzo ya kujengewa uelewa ili kuboresha utendaji wa majukumu ya Tume hiyo wakimsikiliza Mwenyekiti wa Kamati Peter Maduki. - Advertisement - Share FacebookTwitterPinterestWhatsApp Previous articleGF Trucks & Equipment Ltd yaipa Nguvu Timu ya Jeshi la Polisi ZanzibarNext articleWatendaji wa Sensa watakiwa kufanya kazi kwa bidii Mtanzania Digitalhttp://mtanzania.co.tz/ Related Articles Uncategorized Bandari ya Dar yapunguza muda wa ushushaji wa mizigo, yazidi kuimarisha ufanisi Kimataifa Jeshi la Sudan ladai limefanikiwa kuukomboa mji wa Wad Madani Kitaifa Dk. Biteko: Serikali itaendelea kuboresha huduma za uhamiaji LEAVE A REPLY Cancel reply Comment: Please enter your comment! Name:* Please enter your name here Email:* You have entered an incorrect email address! Please enter your email address here Website: Save my name, email, and website in this browser for the next time I comment. Δ Stay Connected90,904FansLike214,997FollowersFollow593,000SubscribersSubscribe Latest Articles Uncategorized Bandari ya Dar yapunguza muda wa ushushaji wa mizigo, yazidi kuimarisha ufanisi Kimataifa Jeshi la Sudan ladai limefanikiwa kuukomboa mji wa Wad Madani Kitaifa Dk. Biteko: Serikali itaendelea kuboresha huduma za uhamiaji Makala Tafakuri Jadidi:Kwanini Mapinduzi, Kwanini Muungano? Elimu na Teknolojia Usaili wa kada ya ualimu kuanza Januari 14 hadi 24, 2025 Load more