HomeAfya na Jamii Afya na JamiiKitaifa Picha| Kamisheni ya TACAIDS yakutana kujadili masuala mbalimbali By Mtanzania Digital September 3, 2022 0 1081 FacebookTwitterPinterestWhatsApp Mwenyekiti wa Kamisheni ya Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS), Dk. Hedwiga Swai akiongoza kikao cha 50 cha Kamaisheni hiyo kilichofanyika Dar es Salaam Agosti 31, mwaka huu. Mjumbe wa Kamisheni ya TACAIDS, Peter Maduki akifafanua umuhimu wa kujaza nafasi zilizobaki za makamishina ili kuongeza tija katika upatikanaji wa michango yao kwa lengo la kuongeza maboresha katika utekelezaji wa majukumu ya TACAIDS wakati wa kikao cha 50 cha Kamaisheni hiyo kilichofanyika Dar es Salaam Agosti 31, 2022. Wajumbe wa Kamisheni ya TACAIDS na Menejimenti walioshiriki kikao cha 50 cha Kamisheni hiyo kilichofanyika Dar es Salaam Agosti 31, 2022. Katibu wa Kamisheni ya TACAIDS, Dk. Lenard Maboko akitoa ufafanuzi wa fedha za ATF kulingana na mgawanyo wake pamoja na hali ya ufatiliaji pindi wanapo peleka fedha za ununuzi wa dawa Wizara ya Afya. - Advertisement - Share FacebookTwitterPinterestWhatsApp Previous articleSimbachawene akabidhiwa Jedwali la uchambuzi wa SheriaNext articleHii ni wiki ya Derby, dabika na Meridianbet na ushinde mihela Mtanzania Digitalhttp://mtanzania.co.tz/ Related Articles Afya na Jamii Imani potofu zafifisha mapambano dhidi ya magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele Biashara na Uchumi Serikali kupata Sh bilioni 100 kwa mwaka kutokana na Bahati Nasibu ya Taifa Kitaifa Msimu wa 23 wa Kilimanjaro Marathon wazinduliwa kwa shangwe Moshi LEAVE A REPLY Cancel reply Comment: Please enter your comment! Name:* Please enter your name here Email:* You have entered an incorrect email address! Please enter your email address here Website: Save my name, email, and website in this browser for the next time I comment. Δ Stay Connected90,904FansLike214,997FollowersFollow593,000SubscribersSubscribe Latest Articles Afya na Jamii Imani potofu zafifisha mapambano dhidi ya magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele Biashara na Uchumi Serikali kupata Sh bilioni 100 kwa mwaka kutokana na Bahati Nasibu ya Taifa Kitaifa Msimu wa 23 wa Kilimanjaro Marathon wazinduliwa kwa shangwe Moshi Michezo The great success of Jürgen Klopp at Borussia Dortmund Biashara na Uchumi Rais Samia apongezwa kuwezesha ujenzi ofisi kuu za WMA Load more