HomeAfya na Jamii Afya na JamiiKitaifa Picha| Kamisheni ya TACAIDS yakutana kujadili masuala mbalimbali By Mtanzania Digital September 3, 2022 0 999 FacebookTwitterPinterestWhatsApp Mwenyekiti wa Kamisheni ya Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS), Dk. Hedwiga Swai akiongoza kikao cha 50 cha Kamaisheni hiyo kilichofanyika Dar es Salaam Agosti 31, mwaka huu. Mjumbe wa Kamisheni ya TACAIDS, Peter Maduki akifafanua umuhimu wa kujaza nafasi zilizobaki za makamishina ili kuongeza tija katika upatikanaji wa michango yao kwa lengo la kuongeza maboresha katika utekelezaji wa majukumu ya TACAIDS wakati wa kikao cha 50 cha Kamaisheni hiyo kilichofanyika Dar es Salaam Agosti 31, 2022. Wajumbe wa Kamisheni ya TACAIDS na Menejimenti walioshiriki kikao cha 50 cha Kamisheni hiyo kilichofanyika Dar es Salaam Agosti 31, 2022. Katibu wa Kamisheni ya TACAIDS, Dk. Lenard Maboko akitoa ufafanuzi wa fedha za ATF kulingana na mgawanyo wake pamoja na hali ya ufatiliaji pindi wanapo peleka fedha za ununuzi wa dawa Wizara ya Afya. - Advertisement - Share FacebookTwitterPinterestWhatsApp Previous articleSimbachawene akabidhiwa Jedwali la uchambuzi wa SheriaNext articleHii ni wiki ya Derby, dabika na Meridianbet na ushinde mihela Mtanzania Digitalhttp://mtanzania.co.tz/ Related Articles Michezo Yusuf Changalawe atinga nusu fainali mashindano ya Mandela Afya na Jamii Asasi ya Agenda yabainisha madhara ya kemikali zilizopo kwenye Plastiki Kimataifa Miaka Miwili ya The Royal Tour Mabalozi wampongeza Rais Samia ongezeko la watalii LEAVE A REPLY Cancel reply Comment: Please enter your comment! Name:* Please enter your name here Email:* You have entered an incorrect email address! Please enter your email address here Website: Save my name, email, and website in this browser for the next time I comment. Δ Stay Connected90,904FansLike214,997FollowersFollow586,000SubscribersSubscribe Latest Articles Michezo Yusuf Changalawe atinga nusu fainali mashindano ya Mandela Afya na Jamii Asasi ya Agenda yabainisha madhara ya kemikali zilizopo kwenye Plastiki Kimataifa Miaka Miwili ya The Royal Tour Mabalozi wampongeza Rais Samia ongezeko la watalii Kitaifa Dk. Nchimbi awakosha wananchi Mbarali, akitoa maelekezo kutatua kero zao Kitaifa Prof. Kitila nchi imeendelea kujitosheleza kwa chakula Load more