25.2 C
Dar es Salaam
Thursday, April 18, 2024

Contact us: [email protected]

Nyoshi: Nimetumia mkorogo tangu miaka sita

nyoshiiiNA RHOBI CHACHA
MWIMBAJI na kiongozi wa Bendi ya Fm Academia, Nyoshi Elsaadat, amesema alianza kuchubua ngozi ya uso wake kwa mkorogo tangu akiwa na miaka sita.
Nyoshi anawashangaa wanaomuona wa ajabu huku akidai kujichubua kwake ni kujipamba kama wanamuziki wengi wa Kongo wafanyavyo.
“Sioni ajabu kupaka mkorogo, nimeanza tangu nikiwa darasa la sita hadi leo ni miaka mingi pia napaka kwa kuwa ni mwanamuziki ninayejua kujipamba nashangaa wanaonishangaa,’’ alisema Nyoshi.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles