31.7 C
Dar es Salaam
Thursday, March 28, 2024

Contact us: [email protected]

Nora: Wanaonitaka kimapenzi hukimbia ndoa

NORANA RHOBI CHACHA

MSANII wa Filamu za Bongo, Nuru Nasoro ‘Nora’ amefunguka kwamba wanaume wengi wanaomtaka kimapenzi humkimbia anapowataka wasubiri hadi watakapofunga ndoa.

Nora alisema ameweka sharti hilo ili ampate mwanamume wa kweli, lakini anaona kama amejiwekea gundu kwa kuwa wengi waliojitokeza kwake hukimbia anapowaeleza masuala ya kusubiri hadi ndoa.

“Si kwamba sitongozwi, natongozwa tena wengi wanakuja kwa gia ya kutaka kunioa, lakini kila mwanamume anataka kushiriki tendo la ndoa kwanza ndipo atangaze ndoa, nami nataka ndoa kwanza ndipo mapenzi maana nilishaolewa na kuachika mara mbili, kwa sasa nataka mwanamume wa kweli atakayenipenda mimi na mapenzi yangu si ujanja ujanja wa wanaume,’’ alieleza.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
585,000SubscribersSubscribe

Latest Articles