22.7 C
Dar es Salaam
Friday, September 20, 2024

Contact us: [email protected]

Mwanasheria Mkuu wa Serikali aapishwa

Na Mwandishi Wetu

Spika wa Bunge, Dk.Tulia Ackson amemuapisha Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Hamza Johari, wakati wa Kikao cha Kwanza cha Mkutano wa 16 leo Agosti 27,2024, jijini Dodoma.

Mwanasheria huyo aliteuliwa na Rais Samia Suluhu Hassan, akichukua nafasi ya Jaji Eliezer Feleshi ambae ameteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani.

Johari ambaye ndiye atakuwa mshauri mkuu wa kisheria wa Serikali na Bunge, akisimamia masuala ya kisheria, kabla ya kuteuliwa kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCCA).

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
589,000SubscribersSubscribe

Latest Articles