24.4 C
Dar es Salaam
Friday, April 19, 2024

Contact us: [email protected]

Mshindi wa Promosheni ya Beti na Kitochi Meridianbet

Kila mmoja ana ndoto kubwa ya kumiliki vitu vizuri, lakini vikwazo vya Maisha na bajeti kubana hukwamisha ndoto ya wengi kumiliki vitu wanavyovitaka, kwa kulitambua hili kampuni ya Meridianbet waliamua kurahisha mipango yako, kwenye promosheni ya shinda TV ukibeti na kitochi.

Ilichukua siku kadhaa mpaka kumpata Bingwa wa kubeti na kitochi mwanafamilia wa Meridianbet anayejulikana kwa jina la Alex mkazi wa Jiji la Dar Es Salaam aliyejishindia TV mpya inch 55. Beti na kitochi ya Meridianbet inaendelea kutimiza ndoto ya kila mtu.

Kila mtu huwa ana yule mtu mmoja anayemuamini kwa kutoa taarifa za michongo, Alex kwa alipata taarifa ya promosheni hii ya Meridianbet kutoka kwa marafiki zake, hivyo marafiki ni muhimu Zaidi kwenye Maisha.

Unapotaka kufanya jambo huwa kuna sababu, hata bingwa wa kubeti na kitochi ni mpenzi wa michezo na hiyo ilimfanya yeye kubeti meridianbet, alienda mbali Zaidi na kusema siku ya kwanza alishinda, na wewe una nafasi ya kushinda jaribu bahati yako meridianbet mabingwa wa michezo ya kubashiri pia wana kasino mtandaoni.

Vuta picha unapigiwa simu na kupewa habari njema, huwa unakuwa kwenye hali gani, na je pale unapokabidhiwa jambo lako? Alex anasema kuwa promosheni ya beti na kitochi imempatia TV kubwa ambayo hakuwa kuwaza ni lini ataipata, lakini kwa dau lake dogo tu la kuanzia TZS 250/= limetimiza ndoto yake.

“TV hii itasaidia familia yangu, ukizingatia kombe la dunia linaendelea hivyo nitakuwa nangalia mechi nyingi kwa raha na ubora Zaidi, nawashukuru Meridianbet kwa zawadi hii kubwa kwenye Maisha yangu”- Mshindi wa promosheni ya beti kitochi- shinda TV

Moja ya sababu ya Bingwa huyu kuwa mwanafamilia ya Meridianbet ni uwezo wa kurudisha dau lako uliloweka “Cash Out/ Turbo” kama unaona mkeka wako upo kwenye hali mbaya ya kuchanika.

“Kujaribu sio kitu kibaya kila mtu ana nafasi ya kubashiri meridianbet na kushinda, ukiangalia kama nchi yetu kuna ile kitu kupotosha, hakuna kitu kibaya hususani kubeti kwa malengo sio tatizo”

“Watu wanapaswa kubeti kupitia Meridianbet, kwani mimi nimeshawahi kubashiri na kampuni nyingi, lakini kampuni ya meridianbet wako vizuri ina machaguo mengi sana ya kubeti, kitu ninachokipenda ni ule uwezo wa kurejesha hela yako ‘Turbo’ pindi unapoona mechi haiendi vizuri una nafasi ya kuchukua pesa yako hata kwa kiasi kidogo”- Alex

Hii hapa nyingine usikubali ikupite, mwezi Disemba ni mwezi wa kufurahi, hivyo kuifanya siku yako iende poa, Meridianbet wanakuletea promosheni ya SAKA MBUZI NA KITOCHI, Ukibeti bila bando kwa dau la kuanzia TZS 1,000/= Promosheni hii itadumu kwa mwezi huu wa Disemba tu. Piga *149*10# kubeti sasa.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles