23.2 C
Dar es Salaam
Saturday, July 27, 2024

Contact us: [email protected]

Miquissone rasmi Al Ahly

Cairo, Misri

ACHANA na kelele zote ulizosikia, ukweli ni kwamba Al Ahly wamethibitisha rasmi kumsajili winga wa kimataifa wa Msumbiji aliyetokea Simba SC, Luis Miquissone.

Miquissone alihusishwa na Al Ahly kwa miezi kadhaa, pia zikaibuka taarifa zisizo rasmi kwamba nyota huyo ataibukia kwa wapinzani wakubwa wa Simba, Yanga SC.

Ifahamike kuwa Miquissone anakuwa mchezaji wa pili kutua Al Ahly hivi karibuni, pia ni mwanasoka wa kwanza kutoka Msumbiji kutinga uzi wa Waarabu hao wa Misri.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
589,000SubscribersSubscribe

Latest Articles