31.2 C
Dar es Salaam
Thursday, March 28, 2024

Contact us: [email protected]

Meridianbet Wawafikia Wafanya Biashara Zaidi ya 300 Dar es Salaam! 

Oktoba 14 siku ya kumbukizi ya Kifo cha aliyekuwa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere Kampuni ya Meridianbetwameweza kutoa Aprons zaidi ya 300 kwa wafanyabiasharahasa baba lishe na mama lishe katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar- es salaam ikiwemo maeneo ya Makumbusho, Magomeni pamoja na eneno la Muhimbili.

Kama ilivyo kawaida ya Meridianbet, timu yao ikiongozwa na Afisa Masoko bwana Twaha Ibrahim, kampuni hii hutoa kilekidogo ambacho wanakipata na kukirudisha kwa jamii. Siku ya Nyerere Day, kampuni hii imeamua kuchagua kutoa Aprons kwa kina mama na baba ambazo zitawasaidia kwwenye uandaaji wa vyakula katika hali ya usafi. 

Bila shaka kila mtu angependa kupata chakula magali safi, kilichoaandaliwa katika mazingira ya usafi. Meridianbet pia walitoa ujumbe huu kwa wafanyabiashara. Wakisisitiza kuwa wateja hawapendi kununua chakula au kula chakula ambacho hakijaandaliwa katika mazingira ya kuridhisha. Meridianbetwanajali jamii yake, wakiwemo wafanya biashara wenyewe. 

“Tumekuja kuwashika mkono ndugu zetu wafanya biashara leo, tunawaoa Aprons ambazo zitawasaidia kuwaonesha kuwa hawani wafanya biashara wa chakula, lakini pia kuweza kuandaachakula katika mazingira ya usafi. Aprons hizi zirawakumbushakuwa sisi Meridianbet tunawajali, tuko pamoja nao” – Twaha Mohamed, Afisa Masoko

Katika maeneo ambayo wameweza kutembelea ikiwemoMakumbusho, wajasiriamali wa vyakula wamefurahi sana kwa kutembelewa na Meridianbet na kuletewa Aprons hizo hukuwakisema zoezi hilo lisiishie hapo kwani uhitaji ni mkubwa sanakutokana na wingi wa wafanyabiashara.

“Tunashukuru kwa Aprons kutoka Meridianbet. Tunashukuruwametuona, tunaamini huu ni mwanzo wa mambo mengimazuri. Sisi wafanyabiashaera tuna mahitaji mengi tu, na hili la Aprons uhitaji ni mkubwa sana. Tunashukuru Meridianbet” – Mama Aisha, Muza Chakula Makumbusho.

Meridianbet ni Kampuni bora na kongwe ya ubashiriTanzania, ambayo imejipambanua kwa kutoa ofa bora za ubashiri wa michezo mingi, wakiwa na zaidi ya michezo 6000 ya kasino ya MeridianbetMeridianbet pia hushirikiana na waandaaji wa michezo ya kasino kuendesha Jackpot za michezo ya kasino.

Jisajili na ubashiri na meridianbet kupitiawww.meridianbet.co.tz, au piga *149*10# kubashiri bila intanetiukiwa na mtandao wa Tigo na Airtel.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
585,000SubscribersSubscribe

Latest Articles