30.2 C
Dar es Salaam
Saturday, April 20, 2024

Contact us: [email protected]

Matukio kwa picha

Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dk.Rehema Nchimbi (kulia) akikabidhi vikundi vya kainamama na vijana mfano wa hundi ya sh milioni 91  zilizotolewa na Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama Mkoani Singida kwa ajili ya vikundi vya Akinamama,vijana na wenye ulemavu ,makabidhiano hayo yalifanyika jana kwenye Ofisi za Halmashauri hiyo,kushoto kabisa ni Mbunge wa Jimbo Iramba Mashariki, Francis  Isack.


Meneja Mahusino Serikalini Benki ya NMB Kanda ya Kati, Peter Masawe (kushoto) akimkabidhi msaada wa madawati Mkuu wa Mkoa wa Singida Dk Rehema Nchimbi (wapili kulia), NMB ilikabidhi madawati 100 kwa ajili ya shule mbili za Wilaya ya Mkalama Mkoani Singida wenye thamani ya sh milioni 10, shule hizo ni shule ya Msingi na Ndala, kulia kabisa ni Mkuu wa Wilaya ya Mkalama, Mhandisi Jackson Masaka 

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles