23.7 C
Dar es Salaam
Friday, April 19, 2024

Contact us: [email protected]

Matukio kwa picha kutoka DAWASA

Mafundi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es salaam (DAWASA) wakiendelea na kazi ya uchimbaji wa mitaro pamoja na kulaza mabomba ya inchi 2 kwa umbali wa mita 150 katika eneo la Minondo wilaya ya Kigamboni.

Kukamilika kwa Kazi hiyo kutapelekea upatikanaji wa huduma ya maji kwa kaya takribani 20 za eneo hilo.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles