Mafundi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es salaam (DAWASA) wakiendelea na kazi ya uchimbaji wa mitaro pamoja na kulaza mabomba ya inchi 2 kwa umbali wa mita 150 katika eneo la Minondo wilaya ya Kigamboni.
![](https://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2021/01/253d4625-ff34-460c-9cf6-c1b60c2988a3.jpg)
Kukamilika kwa Kazi hiyo kutapelekea upatikanaji wa huduma ya maji kwa kaya takribani 20 za eneo hilo.
![](https://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2021/01/9b6147d8-9c0d-4368-8da3-ed685f21826c.jpg)