23.2 C
Dar es Salaam
Friday, April 19, 2024

Contact us: [email protected]

Mashabiki wamaliza ubishi wa Ney na Diamond

diamond nayNA MWANDISHI WETU

MASHABIKI jijini Arusha walimaliza ubishi uliokuwepo kati ya wasanii wa kizazi kipya, Elibariki Emanuel ‘Ney wa Mitego’ na Nassib Abdul ‘Diamond Platinum’ waliokuwa wakibishana stejini kupitia wimbo wao wa ‘Mapenzi pesa ama Ujuzi’.

Tukio hilo lilitokea katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Jumamosi iliyopita, wakati Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa alipokuwa akitangaza nia yake ya kugombea urais.

Katika shoo yao hiyo iliyochengua mashabiki, Diamond alisimamia upande wa mapenzi pesa, wakati Ney alisimama upande wa mapenzi ujuzi.

Ney yeye akaamua kuuliza mashabiki wangapi wanasema mapenzi pesa na wangapi wanadai mapenzi ujuzi, ndipo umati wa mashabiki wao walipolipuka kwa kelele kwamba mapenzi pesa huku wakibeza kwamba ujuzi upelekwe Chuo cha Ufundi ‘Veta’.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles