33.2 C
Dar es Salaam
Friday, March 29, 2024

Contact us: [email protected]

Mashabiki CHAN ruksa viwanjani

SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF) limewasha taa ya kijani kuruhusu mashabiki kuingia viwanjani wakati wa fainali za Mataifa Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN).

Michuano hiyo itafanyika mwakani (Jan. 16-Feb. 7) huko Cameroon, ikiwa ni baada ya kushindwa kuanza Aprili, mwaka huu, kutokana na janga la Corona.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
585,000SubscribersSubscribe

Latest Articles