25.2 C
Dar es Salaam
Friday, April 26, 2024

Contact us: [email protected]

Kala Jeremiah atamani kuwa baba mchungaji

 Jeremiah Masanja ‘Kala Jeremiah’
Jeremiah Masanja ‘Kala Jeremiah’

NA THERESIA GASPER,

MSANII wa miondoko ya hip hop, Jeremiah Masanja ‘Kala Jeremiah’, ameweka wazi kwamba kama asingekuwa msanii angekuwa mchungaji kwa kuwa anaipenda kazi hiyo kwa muda mrefu.

Akizungumza na MTANZANIA jana,  Kala alisema siku zote hupendelea kufanya kazi inayosaidia jamii ndiyo maana mashairi yake yanailenga jamii na kufundisha.

“Awali nilikuwa na ndoto ya kuwa baba mchungaji lakini hapo baadaye nilibadilisha na kuingia katika muziki wa kizazi kipya, kazi ambayo naifanya hadi leo,” alisema msanii huyo anayetamba na video ya ‘Malkia’.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles