24.1 C
Dar es Salaam
Friday, April 26, 2024

Contact us: [email protected]

Jaydee kuweka wazi kuhusu ndoa yake

NA GLORY MLAY -DAR ES SALAAM


jde

KUFUATIA sintofahamu kwa mashabiki wake kuhusiana na tetesi za kufunga ndoa na kwenda mapumziko visiwani Zanzibar, mwanamuziki, Judith Wambura ‘Lady Jaydee’ anatarajia kuweka wazi suala hilo hivi karibuni.

Akizungumza na MTANZANIA jana, Meneja wa mwanamuziki huyo, Seven Mosha, hakutaka kuzungumzia suala hilo, huku akisisitiza kwamba Lady Jaydee mwenyewe ataliweka wazi suala hilo hivi karibuni.

“Habari hizo zipo kwenye mitandao, lakini suala hili anatakiwa kuliongelea mhusika mwenyewe, mimi sina la kuzungumza, ni mapenzi yake ila naamini ataliweka wazi mwenyewe suala hilo hivi karibuni,’’ alieleza Seven.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles