27.2 C
Dar es Salaam
Tuesday, April 23, 2024

Contact us: [email protected]

Iniesta: Xavi kwenda Barca imekaa poa!

CATALUNYA, Hispania

KIUNGO wa zamani wa Barcelona, Andres Iniesta, amesifia hatua ya klabu hiyo kumpa ukocha lejendari mwenzake, Xavi.

Xavi (41), ambaye alikuwa akiinoa Al-Sadd ya Qatar, alimalizana na Barca wiki iliyopita kuchukua nafasi ya kocha raia wa Uholanzi, Ronald Koeman.

“Ameiva, amejiandaa na ana uwezo. Ni mtu sahihi kwa kweli. Si kwa sababu anaijua La Masia na klabu, bali ameiva kuifanya kazi hii,” amesema Iniesta.

Katika mechi 91 alizoiongoza Al-Sadd, Xavi alishinda 62 na kuipa mara moja taji la Ligi Kuu huko Uarabuni.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles