23.3 C
Dar es Salaam
Friday, April 26, 2024

Contact us: [email protected]

Facebook wabadilisha jina

NEW YORK, Marekani

KAMPUNI inayomiliki mtandao wa kijamii wa Facebook imebadili jina na sasa itaitwa Meta, ikiwa ni sehemu ya mabadiliko ya maboresho ya nembo yake.

Aidha, mabadiliko hayo hayatamaanisha kuwa jina ‘Facebook’ kutoonekana kwenye simu za watumiaji, bali kampuni hiyo inayomiliki pia mitandao ya Instagram na Whatsapp ndiyo itakayoitwa Meta.

Hatua hiyo inakuja baada ya kashfa nyingi dhidi ya Facebook baada ya watumishi wake wa zamani kuvujisha nyaraka za siri za kampuni hiyo.

Miaka sita iliyopita, kampuni ya Google nayo ilibadili jina na kujiita Alphabet lakini jina hilo limeshindwa kujenga umaarufu kwa watumiaji wengi wa mitandao.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles