23 C
Dar es Salaam
Saturday, April 20, 2024

Contact us: [email protected]

EPL Kutimua Vumbi Kuanzia Leo Boxing day, Odds ni bombaa! Meridianbet

Wakati ukimalizia kula nyama na pilau la sikukuu ya Krismasi, itakuwa siku nzuri sana kwako mpenzi wa soka pale ambapo utafungua boksi la zawadi kutoka Meridianbet likiwa na Odds Bombaa!! Kwenye mechi zote za EPL kuanzia leo 26 Desemba 2022. Ni Chelsea, Arsenal, Manchester United Man City, Newcastle, Tottenham zitakuwa dimbani.

Odds za Meridianbet zikoje?

Mechi za Disemba 26/2022

Arsenal ya Mike Arteta ikiwa ndio vinara wa Ligi mpaka sasa, watarudi uwanjani kwa mara nyingine kwenye dimba lao la nyumbani ‘Fly Emirates’ watakuwa na kibarua kizito dhidi ya Westaham United. Odds bomba za mechi hii unazipata hapa.

Aston villa katika viunga vyao vya Villa Park hawatakuwa na shughuli nyepesi kwani watakuna na Liverpool ya Klopp ambayo imetoka kujeruhiwa na Man City kwenye mechi ya Carabao.  Villa ANA Odds ya 4.01 ashinde, sare ina 3.82, ushindi kwa Liverpool una thamani ya Odds 1.81 ni meridianbet pekee unazipata odds kubwa kiasi hiki.

Mechi kali kabisa hii ni timu iliyopo nafasi ya 13 ni Leicester City vs Newcastle waliopo nafasi ya 3, na ushinid kwa Leicester una odds ya 3.19 dhidi ya 2.20 ya Newcastle. Bashiri hapa kibingwa Zaidi ufurahie msimu huu wa Sikukuu.

Brentford atakuwa nyumbani kukipiga na Tottenham waliopo nafasi ya 4, wakati huo wenyeji wakiwa nafasi ya 10, nafasi ya ushindi kwa timu hizi unaionaje? Wakati ukitafakari hilo, mchezo mwingine utawakutanisha uwanjani Everton na Wolves hapa napo ni kuna hela iko nje nje. Tazama Odds bomba na kubwa kutoka Meridianbet hapa.

 

Mechi za Disemba 27-28/2022

Wakati wewe unawaza ni wapi utapata pesa za kutanua sikukuu yam waka mpya! Meridianbet wanakwambia ushindi ni rahisi Zaidi kama ukibeti na kitochi au bila bando kwa kupiga *149*10# au laa tembelea tovuti yao ya www.meridianbet.co.tz kuweka ubashiri kwenye mechi za EPL wiki hii.

Chelsea watakuwa wenyeji wa Bournemouth kwenye dimba la Stamford Bridge, Chelsea ana odds bomba ya 1.32 amfunge Bournemouth mwenye 8.62, na kama unaiona sare basi odds yake ni 5.29

Manchester United watakuwa na kibarua cha kuwafunga Nottingham Forest ambao mechi za nyuma 5, ni wameshinda 2 na kufungwa mara 3, huku United wameshinda 3, na kupoteza 2, takwimu hazina utofauti sana. Bonyeza hapa kuweka utabiri wako kirahisi Zaidi.

Funga kazi ni pale ambapo kifaru cha mabao kutoka jijini la Manchester Erling Haaland atarudi uwanjani nasafari hii atakuwa ugenini kuona kama ataendelea kuweka rekodi yake ya kufunga karibu kila mechi watakapokutana na Leeds United, ni Man City vs Leed odds ni kubwa na bombaa pale Meridianbet.

NB: Hauna bando? Usiwaze unaweza kubeti na kitochi bila bando kwa kupiga *149*10# kisha unaweka ubashiri wako. Mbali na ushindi wa kawaida, pia unaweza kujishindia MBUZI WA KITOWEO cha Sikukuu hizi za mwisho wa mwaka.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles