24.2 C
Dar es Salaam
Thursday, April 25, 2024

Contact us: [email protected]

Diamond, Zari wapata mtoto wa kike

Diamond-Platnumz-na-ZariNA VICTORIA PATRICK (TSJ)

MKALI wa muziki wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul (Diamond Platinum) na mpenzi wake, Zarina Hassan (Zari) wamefanikiwa kupata mtoto wa kike waliyempa jina Princess Tiffan.

“Sura ya mama yangu inatosha kueleza ni kiasi gani najisikia ndani ya moyo wangu, karibu kwenye ulimwengu Princess Tiffan” aliandika Diamond katika kurasa zake mbalimbali katika mitandao ya kijamii baada ya kumpata mtoto huyo juzi.

Baada ya kuandika hivyo, wadau na wasanii mbalimbali wa sanaa walimpongeza Diamond na Zari kwa kupata mtoto huyo. Baadhi ya waliompongeza kupitia kurasa zao mitandaoni ni Sauda Mwilima, Nisha, Queen Darlin,  Dida Shaibu, Shilole na wengine wengi.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles