24.1 C
Dar es Salaam
Friday, April 26, 2024

Contact us: [email protected]

Chekechea, shule za msingi waletewa shindano

NA ASIFIWE GEORGE

SHINDANO jipya la ‘Graph Game’ litakalochezwa kwa kutumia simu za mkononi kwa lengo la kuleta tija na mabadiliko na maendeleo katika jamii kwa vizazi vijavyo limezinduliwa nchini.

Shindano hilo litakalowashirikisha watoto kuanzia chekechea hadi shule ya msingi, mwisho wa usajili wake ni Oktoba 22 mwaka huu.

Mkurugenzi wa Kampuni ya simu ya Tigo, Diego Gutierez, ambao ndio waandaaji wa shindano hilo kwa kushirikiana na Taasisi ya Reach for Change, alisema lengo la shindano hilo ni kuwasaidia na kuinua vipaji kwa vijana wenye mawazo bunifu yanayolenga kuboresha maisha ya watoto.

Naye Mkurugenzi wa Reach for Change, Peter Nyanda, alisema shindano hilo pia litasaidia kupata wajasiriamali watakaowapatia dola 20 kwa ajili ya kutengeneza miradi yao.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles