33.2 C
Dar es Salaam
Friday, March 29, 2024

Contact us: [email protected]

Baby Madaha: Nimeamua kutulia na ndoa yangu ya Kiarabu

babay madaha...NA GLORY MLAY

MWIGIZAJI wa filamu za Bongo, Baby Joseph Madaha, ameibuka na kudai kwa sasa ameamua kutulia katika ndoa yake na Mwarabu wa Dubai ambaye hakutaka kumtaja jina.

Baby yupo mbioni kuachia video ya wimbo wake mpya wa ‘Corazon’ unaofanyiwa video yake nchini Dubai kwenye makazi yake mengine.

“Kwa sasa ninaishi nchi mbili, nipo Tanzania na pia nina makazi yangu mapya huko Dubai, nimeolewa na Mwarabu na nimetulia kwenye ndoa yangu najiachia kwangu, ahaaaa!” alijibu kisha akamalizia kwa kicheko.

Akizungumzia wimbo huo, Madaha alisema ameurekodia katika studio za C9 zinazomilikiwa na prodyuza mkali katika midundo nchini, Christopher Kanjenje (C9).

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
585,000SubscribersSubscribe

Latest Articles