28.2 C
Dar es Salaam
Tuesday, March 19, 2024

Contact us: [email protected]

Abochi Music aachia ‘Show Me Something’

Accra, Ghana

MSANII wa kizazi kipya kutoka nchini Ghana, Abochi Music amewaomba wapenzi wa muziki huo kuipokea ngoma yake mpya Show Me Something aliyomshirikisha Medikali.

Abochi ameiambia Mtanzania Digita kuwa anaamini Afrika Mashariki ana mashabiki wengi kwani amekuwa akipata pongezi nyingi kutoka pande hizo.

“Nimeachia rasmia Show Me Something, audio na video hivyo naomba sapoti kutoka kwa mashabiki wote wa muziki mzuri maana ni ngoma ya kuchezeka na ina vibe mwanzo mwisho,” amesema Abochi.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
584,000SubscribersSubscribe

Latest Articles