HomeHabari Kuu Habari KuuKitaifa Waziri Masauni atembelewa na Mkuu wa Idara ya Uhamiaji Saudi Arabia By Mtanzania Digital September 8, 2022 0 1292 FacebookTwitterPinterestWhatsApp Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni (kushoto), akizungumza na Mkuu wa Idara ya Uhamiaji wa Saudia Arabia, Suleiman AlYahya kuhusu masuala mbalimbali ya ushirikiano kati ya Serikali ya Tanzania na Saudi Arabia, katika Kikao kilichofanyika jijini Dar es Salaam, leo Septemba 8, 2022. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni (kushoto), akimsikiliza Mkuu wa Idara ya Uhamiaji wa Saudia Arabia, Suleiman AlYahya alipokuwa akizungumzia masuala mbalimbali ya ushirikiano kati ya Serikali ya Tanzania na Saudi Arabia, katika kikao kilichofanyika jijini Dar es Salaam, leo Septemba 8, 2022. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni (kulia), akipokea zawadi kutoka kwa Mkuu wa Idara ya Uhamiaji wa Saudia Arabia, Suleiman AlYahya baada ya kumaliza mazungumzo yao kuhusu masuala mbalimbali ya ushirikiano kati ya Serikali ya Tanzania na Saudi Arabia, katika kikao kilichofanyika jijini Dar es Salaam, leo Septemba 8, 2022. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni (kulia), akizungumza jambo na Mkuu wa Idara ya Uhamiaji wa Saudia Arabia, Suleiman AlYahya wakati alipokuwa akimsindikiza baada ya kumaliza mazungumzo yao kuhusu masuala mbalimbali ya ushirikiano kati ya Serikali ya Tanzania na Saudi Arabia, katika kikao kilichofanyika jijini Dar es Salaam, leo Septemba 8, 2022. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi. - Advertisement - Share FacebookTwitterPinterestWhatsApp Previous articleRaia wa Uganda akamatwa na mihuri feki ya TRA na Taasisi nyingine za SerikaliNext articleKoffi kutikisa Bongo na Royal Tour Septemba 10 Mtanzania Digitalhttp://mtanzania.co.tz/ Related Articles Habari Kuu Hemed Abdulla: Tutaendelea kuulinda Muungano kwa gharama yoyote Burudani AIC Nira Gospel Choir, Lemi George wazidi kupaa Biashara na Uchumi ACB yazindua kadi ya Visa kukidhi matarajio ya wateja LEAVE A REPLY Cancel reply Comment: Please enter your comment! Name:* Please enter your name here Email:* You have entered an incorrect email address! Please enter your email address here Website: Save my name, email, and website in this browser for the next time I comment. Δ Stay Connected90,904FansLike214,997FollowersFollow586,000SubscribersSubscribe Latest Articles Habari Kuu Hemed Abdulla: Tutaendelea kuulinda Muungano kwa gharama yoyote Burudani AIC Nira Gospel Choir, Lemi George wazidi kupaa Biashara na Uchumi ACB yazindua kadi ya Visa kukidhi matarajio ya wateja Afya na Jamii Lushoto yaendesha mafunzo ya Chanjo ya Saratani ya Shingo ya Kizazi Michezo Kitaifa Dk. Ndumbaro amualika Waziri wa michezo Ivory Coast kushuhudia ‘Derby’ Load more