25.2 C
Dar es Salaam
Friday, April 19, 2024

Contact us: [email protected]

WATOTO 1,300 WALIOPOTEA KIBITI WANA ZAIDI YA MWAKA

Kamanda wa Polisi nchini, Simon Sirro amewataka wazazi ambao watoto wao hawakuhamishwa shule na hawajui mahali walipo kuripoti polisi.

Hatua hiyo inatokana na kusambaa kwa taarifa ya kupotea kwa watoto 1,300 wilayani Kibiti, Mkoa wa Pwani kupotea kusikojulikana.

“Ni taarifa ya muda mrefu, kipindi cha mwaka jana na mwaka huu, ni zaidi ya mwaka mmoja niliipata Wizara ya Elim kule ndiyo maana nimeelekeza wazazi ambao hawawaoni watoto wao kutoa taarifa.

“Maana kama mtoto humuoni shuleni wala nyumbani si lazima uripoti,” amesema Kamanda Sirro.

Kupotea kwa watoto hao kumezua sintofahamu kutokana na wazazi wa watoto hao kutiripoti tukio hilo polisi.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles