25.2 C
Dar es Salaam
Friday, April 19, 2024

Contact us: [email protected]

Virusi vipya vya corona vyaripotiwa Taiwan

Taipei, Taiwan

Waziri wa Afya wa Taiwan, Chen Shih-chung, amesema kuwa kisiwa cha Thailand kimethibitisha wagonjwa wa kwanza waliopata aina ya virusi vya corona vya Afrika Kusini.

Watu hao walikuwa wamesafiri katika nchi jirani ya Eswatini, iliyokuwa ikiitwa zamani Swaziland, inayopakana na Afrika Kusini.

Kuanzia Alhamisi, yeyote anayesafiri kwenda Eswatini katika kipindi cha siku 14 atalazimika kwenda karantini katika majengo ya serikali.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles