25.8 C
Dar es Salaam
Tuesday, April 16, 2024

Contact us: [email protected]

Uchaguzi Uganda:Tume ya uchaguzi yatangaza kumalizika kwa kampeni

Kampala, Uganda

Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi nchini Uganda, Jaji Simon Byabakama ametangaza kuwa kuanzia leo mtu yeyote hatakiwi kufanya kampeni za namna yeyote ile.

Aidha, amesema uchaguzi utafanyika kesho Januari 14, 2021 siku ya Alhamis, huku kukiwa na jumla ya wapiga kura wa kiume ni zaidi ya milioni nane na wanawake wakiwa zaidi ya milioni tisa.

Amesisitiza pia kuwa waandishi wa habari hawataruhusiwa kuingia kwenye chumba cha kupigia kura.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles