24.2 C
Dar es Salaam
Tuesday, April 23, 2024

Contact us: [email protected]

Trey Song kufanya ‘colabo’ na Wizkid, Davido

2015 iHeartRadio Music Festival - Night 2 - ShowLAGOS, NIGERIA

NYOTA wa muziki nchini Marekani, Tremaine Neverson ‘Trey Song’, amesema yupo tayari kufanya kazi na mkali wa muziki kutoka Nigeria, Wizkid.

Msanii huyo ambaye alikuwa nchini humo wiki iliyopita kwa ajili ya kufanya shoo kwenye mkesha wa sikukuu ya Krismasi, amesema amekuwa akivutiwa na wasanii wa Nigeria, hivyo yupo tayari kufanya nao kazi huku akitarajia kufanya na Wizkid.

“Afrika kuna wasanii wengi ambao wana uwezo wa kufanya muziki wa hali ya juu, tayari nimefanya kazi na Davido na natarajia kufanya na Wizkid.

“Ninaamini hawa ni wasanii ambao wanafanya vizuri kwa sasa nchini Nigeria, ila kuna wengi wenye uwezo mkubwa,” aliandika Trey Song kwenye akaunti yake ya Instagram.

- Advertisement -

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Stay Connected

90,904FansLike
214,997FollowersFollow
586,000SubscribersSubscribe

Latest Articles